RAIS WA MISRI AWASILI NCHINI NA KUPOKEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS DKT. MAGUFULI

August 14, 2017
MIS1
Rais wa Jamhuri ya  Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah el-Sisi akiwasili nchini  leo kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili. Apokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania  Dk. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam
MIS2
Rais wa Jamhuri ya  Kiarabu ya Misri Mhe. Abdel Fattah el-Sisi akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania  Dk. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaama mara baada ya kuwasili nchini  leo kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili.
MIS3

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »