![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg16qEM-C7qNYTLVhoue6bR0ilP_LXT5q-AjPUnd98Jd1huYZkW52saYMp2gIMTA3SC5HfBpiVSLZ9pL33pBm9nhTBC_tM2iR0y1vCEVbL9XcJSmPNgDl67wRcrqnRcHEANq4QncxCV1Obj/s640/index.jpeg)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu akisalimiana akisalimiana na mmoja wa viongozi wa dini mara
baada ya kuwasili jijini Arusha mapema leo,
tayari kwa ufunguzi wa mkutano wa SARPCCO EXTRA ORDINARY MEETING kesho tarehe 16 Septemba 2016 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICC.Pichani kulia ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mh.Mrisho Gambo![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnOLitTQpo41ipI1m5IjrNzrjv2Ol9CN6VnIiPiuMiRFpJOOjYTI8DXxhk5QbGJ7SJkicduv0oWfc5J9z2XkTOY-fXqekBVofiPsHKolgWNuaXUK-Zko9V3OOa5Q8BA0zInkMSckIPTWT0/s640/W.jpeg)
tayari kwa ufunguzi wa mkutano wa SARPCCO EXTRA ORDINARY MEETING kesho tarehe 16 Septemba 2016 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICC.Pichani kulia ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mh.Mrisho Gambo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnOLitTQpo41ipI1m5IjrNzrjv2Ol9CN6VnIiPiuMiRFpJOOjYTI8DXxhk5QbGJ7SJkicduv0oWfc5J9z2XkTOY-fXqekBVofiPsHKolgWNuaXUK-Zko9V3OOa5Q8BA0zInkMSckIPTWT0/s640/W.jpeg)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akilakiwa
na Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mh.Mrisho Gambo mapema leo mara baada ya
kuwasili jijini humo tayari kwa ufunguzi wa mkutano wa SARPCCO EXTRA
ORDINARY MEETING kesho tarehe 16 Septemba 2016 katika ukumbi wa mikutano
wa kimataifa wa AICC.
EmoticonEmoticon