Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Abdi Mohamed (kushoto), akizungumza jijini Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa proram ya ReadytoWork inayolenga kuwapa elimu wanafunzi wa elimu ya juu kujiandaa na ajira au kujiajiri. Wa tatu kushoto ni Mkuu wa Elimu
ya Juu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Lazaro Malili.
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Barclays Tanzania, Aron Luhanga (kushoto), akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa proram ya ReadytoWork inayolenga kuwapa elimu wanafunzi wa elimu ya juu kujiandaa na ajira au kujiajiri. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Abdi Mohamed, Mkuu wa Elimu ya Juu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Lazaro Malili na Mkurugenzi
Mtendaji wa Shirika la Junior Achievement, Hamisi Kasongo.
Mmoja wa wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Kilonzo Mringo (kushoto), akiuliza swali wakati wa uzinduzi wa proram ya ReadytoWork ya Benki ya Barclays inayolenga kuwapa elimu wanafunzi wa elimu ya juu kujiandaa na ajira au kujiajiri uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Elimu ya Juu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,Lazaro Malili (kushoto), akizungumza katika hafla ya uzinduzi waprogram ya ReadytoWork ya Benki ya Barclays inayolenga kuwapa elimuwanafunzi wa elimu ya juu kujiandaa na ajira au kujiajiri uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Wasanii wa kikundi cha Mama Afrika wakitoa burudani wakati wa uzinduzi wa proram ya ReadytoWork ya Benki ya Barclays inayolenga kuwapa elimu wanafunzi wa elimu ya juu kujiandaa na ajira au kujiajiri uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
EmoticonEmoticon