MATUKIO YA BUNGE LINAENDELEA MJINI DODOMA

May 05, 2016


1 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo yanayoulizwa na Wabunge leo mjini Dodoma.
2 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai akiingia kwenye ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma.
3 
Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe akiwasili viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma
4
5 
Wabunge wakiwasili viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
(Picha na Eleuteri Mangi-MALEZO, Dodoma)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »