MAJALIWA AKISALIMIANA NA VIONGOZI WA MKOA WA MOROGORO

May 18, 2016

MAJ1 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Morogoro wakati aliposimama kwa muda mfupi mjini hapo akiwa njiani kuelekea Dodoma akitoka Dar es salaam May 18, 2016. Wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa huo, Dk. Stephene Kebwe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ2

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »