Waziri Prof. Mbarawa aongea na wafanyakazi wa Mkoa wa Kigoma na Katavi.

April 02, 2016

RW1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akiongea na wafanyakazi wa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo wakati akifanya majumuisho ya ziara yake, mkoani Kigoma.
RW2
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa pili kushoto), akiangalia namna mkonogo wa Taifa ulivyopitishwa katika moja ya madaraja ya Mto Malagarasi. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Kamugisha Kazaura akiangalia kwa makini.
RW3
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma….. wakati alipomtembelea ofisini kwake.
RW4
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa tano kutoka kulia mstari wa kwanza), akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoani Kigoma.
RW5
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa  Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Meja Jenerali (Mst) Raphael Muhuga wakati alipomtembelea ofisini kwake.
RW6
Wafanyakazi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wakimsikiliza Waziri wa Wizara Prof. Makame Mbarawa, (hayupo pichani), wakati alipoongea nao mkoani Katavi.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »