Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akiweka saini katika kitabu cha wageni mara
baada ya kuwasili katika Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha
Nunge, Kigamboni, jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza
mahitaji yao pamoja na kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000
na Maharage Kilo 1200 ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli
akisikiliza taarifa kutoka kwa Bw. Ojuku Mgedzi, Mkuu wa Kituo cha
Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge, Kigamboni,
jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao pamoja na
kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage Kilo 1200
ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akipokea taarifa kutoka kwa Bw. Ojuku
Mgedzi, Mkuu wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge, Kigamboni,
jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao pamoja na
kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage Kilo 1200
ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akioneshwa maeneo mbalimbali na Bw. Ojuku
Mgedzi, Mkuu wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge, Kigamboni,
jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao pamoja na
kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage Kilo 1200
ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli
akisalimiana na wagonjwa waliofika kupata huduma katika zahanati ya
Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge, Kigamboni,
jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao pamoja na
kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage Kilo 1200
ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akitembelea chumba cha kujifungulia cha
zahanati ya Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge,
Kigamboni, jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao
pamoja na kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage
Kilo 1200 ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana kwa furaha na wakaazi wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge, Kigambo
ni, jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao
pamoja na kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage
Kilo 1200 ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mkuu
wa wilaya ya Temeke Mhe Sophia Mjema akimkaribisha Mke wa Rais Mama
Janeth Magufuli kuhutubia wakaazi wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu
Walemavu cha Nunge, Kigambo
ni, jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao
pamoja na kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage
Kilo 1200 ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akihutubia wakaazi wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge, Kigambo
ni, jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao
pamoja na kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage
Kilo 1200 ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
Mke wa Rais
Mama Janeth Magufuli akimkabidhi mchele, unga na maharage Mzee Anthony
Kingongoti Mwenyekiti wa wakaazi wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu
Walemavu cha Nunge, Kigambo ni, jijini Dar es salaam alikotembelea na
kusikiliza mahitaji yao pamoja na kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga
kilo 3000 na Maharage Kilo 1200 ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu
hao.
Mke wa Rais
Mama Janeth Magufuli akipokea shukurani kutoka kwa Mzee Anthony
Kingongoti Mwenyekiti wakaazi wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu
Walemavu cha Nunge, Kigambo ni, jijini Dar es salaam
alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao pamoja na kutoa msaada wa
mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage Kilo 1200 ikiwa msaada wake
kwa wazee na walemavu hao.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli akimshukuru Mzee Anthony Kingongoti
Mwenyekiti wakaazi wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha
Nunge, Kigambo ni,
jijini Dar es salaam alikotembelea na kusikiliza mahitaji yao pamoja na
kutoa msaada wa mchele kilo 3000, Unga kilo 3000 na Maharage Kilo 1200
ikiwa msaada wake kwa wazee na walemavu hao.
PICHA NA IKULU