Mkuu wa Wilaya ya Kahama Vita Kawawa akinywa maji katika moja ya visima vilivyochimbwa na Mgodi wa Buzwagi katika kata ya Mwendakulima ambapo mgodi huo unampango wa kutekeleza miradi kumi na tano ya ujenzi wa visima virefu vya bomba, wanaoshuhudia ni Meneja Uendelezaji wa Mgodi George Mkanza (wa kwanza kushoto) na Diwani wa kata ya Mwendakulima
DC KAWAWA ATEMBELEA MRADI WA MAJI
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Vita Kawawa akinywa maji katika moja ya visima vilivyochimbwa na Mgodi wa Buzwagi katika kata ya Mwendakulima ambapo mgodi huo unampango wa kutekeleza miradi kumi na tano ya ujenzi wa visima virefu vya bomba, wanaoshuhudia ni Meneja Uendelezaji wa Mgodi George Mkanza (wa kwanza kushoto) na Diwani wa kata ya Mwendakulima


EmoticonEmoticon