Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Shulu Hassan,
akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini, Radhia
Msuya, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Olver Tambo jijini
Johannesburg jana Desemba 3, 2015 kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano Mkuu
wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Shulu Hassan,
akisalimiana Mwambata wa Kijeshi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini
(Defence advisor) Brig. Gen Ibrahim A. Kimario, wakati alipowasili
kwenye Uwanja wa Ndege wa Olver Tambo jijini Johanesburg jana Desemba 3,
2015 kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za
Afrika na China. Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya
Kusini, Radhia Msuya. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Rais wa China, Xi Jinping, wakati wa Mkutano Mkuu wa
Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum)
uliofanyika leo Dec 4, 2015 jijini Johannesburg. Mhe. Samia
amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano huo. Picha na
OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
(mwenye kitambaa cheupe) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa
Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum) uliofanyika leo Dec 4, 2015
jijini Johannesburg. Mhe. Samia amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe
Magufuli katika mkutano huo. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
(mwenye kitambaa cheupe katikati) akiwa katika picha ya pamoja na
baadhi ya Viongozi wakuu wa Nchi za Afrika baada ya ufunguzi wa Mkutano
huo Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China (China-Africa
Forum) uliofanyika leo Dec 4, 2015 jijini Johannesburg. Mhe. Samia
amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano huo. Picha na
OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan
(kulia) akiwa katika mazungumzo na Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto
Nyusi, walipokutana kwenye ufunguzi wa Mkutano huo Mkuu wa Tano wa
Wakuu wa Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum) uliofanyika leo
Dec 4, 2015 jijini Johannesburg. Mhe. Samia amemwakilisha Rais Dkt. John
Pombe Magufuli katika mkutano huo. Picha na OMR
Baadhi
ya washiriki katika Mkutano huo kutoka nchi mbalimbali za Afrika
waliohudhuria ufunguzi wa mkutano huo leo jijini Johannesburg. Picha na
OMR
Baadhi
ya washiriki katika Mkutano huo kutoka nchi mbalimbali za Afrika
waliohudhuria ufunguzi wa mkutano huo leo jijini Johannesburg. Picha na
OMR
Baadhi
ya washiriki katika Mkutano huo kutoka nchi mbalimbali za Afrika
waliohudhuria ufunguzi wa mkutano huo leo jijini Johannesburg. Picha na
OMR