Maafisa wa Afya na Mazingira wapewa MAFUNZO KWA VITENDO BANDARI

November 13, 2015

2
Baadhi ya Maafisa wa Afya na Mazingira kutoka, Bandari, Viwanja vya Ndege na Mipakani  wakiwa katika   ziara ya mafunzo kwa vitendo  kuhusu masuala ya ukaguzi ya vyombo vya usafari iliyofanyika leo kwenye eneo la Bandari ya Dares Salaam.
4
5
Baadhi ya Maafisa wa Afya na Mazingira kutoka, Bandari, Viwanja vya Ndege na Mipakani  wakipanda moja ya meli ikiwa   ziara ya mafunzo kwa vitendo  kuhusu masuala ya ukaguzi ya vyombo vya usafari iliyofanyika leo kwenye eneo la Bandari ya Dares Salaam.
6
picha ya pamoja  ya baadhi ya Maafisa wa Afya na Mazingira kutoka, Bandari, Viwanja vya Ndege na Mipakani  mara baada ya kufanya   ziara ya mafunzo kwa vitendo  kuhusu masuala ya ukaguzi ya vyombo vya usafari iliyofanyika leo kwenye eneo la Bandari ya Dares Salaam.
Picha zote na Magreth Kinabo- MAELEZO

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »