Mke
wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi,CCM, Mama
Salma Kikwete akiwapungia mkono viongozi na wanachama wa UWT wa Mkoa wa
Mara wakati akiwasili kwenye ukumbi wa Musoma Community Centre kwa ajili
ya mkutano wa ndani na wanachama hao-Octoba 3, 2015.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na wanachama wa Umoja wa
Wanawake Tanzania (UWT) wa Mkoa wa Mara wakati alipokutana nao kwenye
ukumbi wa Musoma Community Centre.
Umati
wa wajumbe wa Umoja wa Wanawake (UWT) wa Mkoa wa Mara wakimsikiliza kwa
makini Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) wakati alipokuwa
akiongea nao Mjini Musoma.
PICHA NA JOHN LUKUWI.