Sehemu
ya Wananchi wa Mji wa Sumbawanga, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja
wa Ndege wa Sumbawanga Mkoani Rukwa, wakiishangilia Ndege iliyombeba
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, wakati ikiwasili Uwanjani hapo, leo Sepremba 2, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, RUKWA.
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,
akisalimiana na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini, Ikuo
Malila, baada ya kuwasilini kwenye Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga Mjini,
Mkoani Rukwa, leo Sepremba 2, 2015.