Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Sukuhu Hassan, akihutubia
maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni Dodoma mjini Septemba 2, 2015. Kijana akiwa na bango wakati akienda mkutano wa kampeni za CCM Dodoma mjini Septemba 2, 2015.
Maelfu
ya wananchi wakiwa kwenye mkutano wa kampeni uliohutubiwa na mgombea
mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika leo Dodoma mjini Septemba 2, 2015.
Mgombea
wa ubunge jimbo la Mtera Livingstone Lusinde akihutubia maelfu ya
wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Dodoma mjini Septemba 2, 2015.
Maelfu ya wanannchi
wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Sukuhu Hassan alipowalisi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Septemba 2, 2015.
Maelfu ya wanannchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Sukuhu Hassan alipowalisi kwenye mkutano wa kampeni
uliofanyika Septemba 2, 2015.
uliofanyika Septemba 2, 2015.
Wagombea
Ubunge Livingstone Lusinde (Mtera) ma Mavunde (Dodoma mjini)
wakishiriki kucheza muziki jukwani wakai wa mkutano wa kampeni
uliofanyika leo Dodoma mjini leo na kuhutubiwa na mgombea Mwenza wa
Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan
Mgombea
Ubunge jimbo la Dodoma mjini Mavunde akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM
mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa wakati wa mkutano wa kampeii za CCm
uliofanyika Dodoma mjini Septemba 2, 2015.
Wagombea
Udiwani Dodoma mjini wakiwa kwenye mkutano wa kampeniwa mgombea mwenza
wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia uliofanyika Septemba 2, 2015.
Mgombea
Ubunge Dodoma mjini, Mavunde akihutubia maelfu ya wananchi katika
mkutano wa kampeni uliofanyika leo Dodoma mjini Septemba 2, 2015.
Kinkundi
cha Hapa Kazi kutoka Tanga wakitumbuiza wakati wa mkutano wa kampeni wa
mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika leo, jimbo la
Kibakwe mkoani Dodoma
Mgombea Ubunge Jimbo la Kibakwe , Dk. Simba Chawene akiomba kura kwa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo hilo.
Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia (kushoto) akishuhudia
burudani iliyokuwa ikitolewa na Kundi la Hapa Kazi, wakati wa mkutano wa
kampeni uliofanyika, jimbo la Kibakwe mkoani dodoma.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia akiwasalimia
wananchi baada ya kuwasili uwanja wa mkutano wa kampeni katika jimbo la
Kibakwe mkoani dodoma.
Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akimnadi Mgombea Ubunge
jimbo la Kibakwe, Dk. Simba Chawene katika mkutano wa kampeni
uliofanyika jimbo hilo leo. Kushoto ni Mama Mariam Simbachawene.
Msafara wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia ukiwa umeuziwa na wananchi wakati akienda jimbo la Mtera.
Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, akimnadi Mgombea Ubunge wa Ubunge
jimbo la Mtera Livingstone Lusinde katika mkutano wa kampeni uliofanyika
katika jimbo hilo.
Mgombea
Mwenza wa Urais tikati ya CCM, Mama Samia akiwahutubia wananchi wa
jimbo la Mtera katika mkutnao wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo
hilo
Maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni katika jimbo la Mtera.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO