Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na Waziri wa Ulinzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi muda mfupi baada
ya kuwasili eneo la Lugalo kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa National
Defence Headquarters.
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali
Davis Mwamunyange akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika
hafla ya kuweka jiwe la Msingi la ujenzi wa National Defence
Headquarters huko Lugalo jijini Dar es Salaam leo.
Amiri Jeshi Mkuu Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Makamanda wa Jeshi la Ulinzi wakati
wa uwekaji Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete akifungua kitambaa wakati wa uwekaji jiwe la msingi la
Ujenzi wa National Defence Headquarters huko Lugalo jijini Dar es Salaam
leo.Kushoto ni Mkuu wa majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis
Mwamunyange,Watatu Kushoto ni Waziri wa Ulinzi Dkt.Huessein Ali Mwinyi
na kulia ni Bwana Hu mwakiklkishi wa kampuni ya ujenzi kutoka China.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akiteta jambo na mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange
wakati wa Uwekaji Jiwe la Msingi la Ujenzi wa National Defence
Headquarters Lugalo jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali
Davis Mwamunyange akimuonyesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mchoro wa
majengo ya Makao Makuu ya Ulinzi yatakayojengwa eneo la Lugalo jijini
Dar es Salaam leo.Wapili kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
(Picha na Freddy Maro)
EmoticonEmoticon