Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na
kumkaribisha Balozi wa Qatar Nchini Tanzania Mhe. Abdulla Jassim Al
Maadadi wakati Balozi huyo alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu
Dar es salaam leo Agost 31,2015 kwa lengo la kujitambulisha rasmi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na
Balozi wa Qatar Nchini Tanzania Mhe. Abdulla Jassim Al Maadadi wakati
Balozi huyo alipomtembelea Makamu wa Rais Ofisini kwake Ikulu Dar es
salaam leo Agosti 31, 2015 kwa ajili ya kujitambulisha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha
ya pamoja na Balozi wa Qatar Nchini Tanzania Mhe. Abdulla Jassim Al
Maadadi wakati Mabalozi huyo alipomtembelea Makamu wa Rais Ofisini kwake
Ikulu Dar es salaam leo Agosti 31, 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na
kumkaribisha Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Mhe. Issa Ntambuka wakati
Balozi huyo alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam
leo Agosti 31,2015 kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa
kazi hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na
Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Mhe. Issa Ntambuka wakati Balozi huyo
alipomtembelea Makamu wa Rais Ofisini kwake Ikulu Dar es salaam leo
Agosti 31, 2015, kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi
hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha
ya pamoja na Balozi wa Burundi Nchini Tanzania Mhe. Issa Ntambuka
wakati Mabalozi huyo alipomtembelea Makamu wa Rais Ofisini kwake Ikulu
Dar es salaam leo Agosti 31, 2015, kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza
muda wake wa kazi hapa Nchini.
(Picha na OMR)
EmoticonEmoticon