Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akiweka udongo katika kaburi la aliyewahi kuwa Mbunge wa Mafia Kanali
Mstaafu Marehemu Ayub Kimbau huko Mafia leo jioni.
Rais Dkt.Jakaya Kikwete na Mkewe
Mama Salma(aliyeketi na mke wa Marehemu kushoto) wakimfariji mke wa
Marehemu Kanali Mstaafu Nyumbani Kwake Mafia wakati wa mazishi ya Mbunge
huyo wa zamani wa Mafia leo jioni.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete,mkuu wa Mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo na watoto wa marehemu
Kanali Mstaafu Marehemu Ayub Kimbau wakiomba dua wakati wa mazishi ya
Mbunge huyo wa Zamani wa Mafia yaliyofanyika huko Mafia leo jioni(picha
na Freddy Maro)
Baadhi ya wanajeshi wakiwa
wamebeba jeneza la Marehemu Kanali Mstaafu Ayub Kimbau aliyewahi kuwa
mbunge wa Mafia wakati wa Mazishi yake huko Kilwa leo jioni.
EmoticonEmoticon