NYUMBA YATEKETEA TANGA BARABARA YA 13

July 01, 2015


 Wakazi wa Ngamiani kati Tanga, wakishuhudia uzimaji moto wa  nyumba  barabara ya 13 mtaa wa makoko iliyoungua na kuteketeza mali zote za ndani na chanzo kudaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme.




Share this

Related Posts

Previous
Next Post »