NYUMBA YATEKETEA TANGA BARABARA YA 13 OSCAR ASSENGA July 01, 2015 OSCAR ASSENGA Wakazi wa Ngamiani kati Tanga, wakishuhudia uzimaji moto wa nyumba barabara ya 13 mtaa wa makoko iliyoungua na kuteketeza mali zote za ndani na chanzo kudaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme. Share this Author : OSCAR ASSENGA Related Posts
EmoticonEmoticon