Waziri
wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Said Ali Mbarouk
akimueleza jambo Mkurugenzi wa Kituo cha Kukuza Utalii kati ya India
na Zanzibar Jilesh Babla (hayupo pichani) walipokuwa na mazungumzo
Ofisini kwake Kikwajuni.(Picha Na Miza Othman- Maelezo Zanzibar).
Waandishi
wa Habari wakifuatilia habari hizo kwa makini katika Ofisi ya Waziri
wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar.( Picha Na Miza Othman-
Maelezo Zanzibar)
Mkurugenzi
wa wa Kituo cha Utalii kati ya India na Zanzibar Jilesh Babla
akiwapamoja na Mkurugezi wa Utumishi wa Wizara ya Habari Utamaduni
Utalii na Michezo Joseph Kilangi wakati wa mazungumzo hayo.(Picha Na
Miza Othman- Maelezo Zanzibar).
Picha
ya pamoja ya Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar
Said Ali Mbarouk (katikati) pamoja na Mgeni wake Jilesh Babla
(kushoto) na Mkurugenzi wa Utumishi wa Wizara hiyo Joseph Kilang.(Picha
Na Miza Othman- Maelezo Zanzibar).