Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa
ameongozana na mkewe mama Salma Kikwete wakilakiwa mara walipowasili
katika hoteli ya Sun Internatioal Maslow Hotel, Sandton, Johannesburg,
Afrika ya Kusini kwa Mkutano wa 25 wa kawaidavwa Umojanwa Afrika.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa
ameongozana na mkewe mama Salma Kikwete wakilakiwa na Waziri Maendeleo
ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba mara walipowasili katika
hoteli ya Sun Internatioal Maslow Hotel, Sandton, Johannesburg, Afrika
ya Kusini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 25 wa kawaidavwa Umojanwa
Afrika.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa
ameongozana na mkewe mama Salma Kikwete wakilakiwa na maofisa wa
Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini mara walipowasili katika
hoteli ya Sun Internatioal Maslow Hotel, Sandton, Johannesburg, Afrika
ya Kusini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 25 wa kawaidavwa Umojanwa
Afrika.
PICHA ZOTE NA IKULU
EmoticonEmoticon