Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal
akisalimiana na Mwenyekiti wa Machifu wa Kisukuma Charles llago Kaphipa
wakati wa sherehe za Kimila za wasukuma kwenye Tamasha la bulabo katika
kituo cha bujoro Mkoani Mwanza Jana Tarehe 7/6/2015
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Ghar Bilal
akishika jiwe la kutengenezea chuma wakati wa Uchifu kulia ni Mkurugenzi
wa kituo cha Bujora Askofu Fabian Mkoja alipotembelea Maonyesho hayo
Kijiji cha Kisesa wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza jana tarehe 7/6/2015
Makamuwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal
akipata maelezo toka kwa Mkurugenzi wa kituo cha Bujora Askofu Fabian
Mkoja alipotembelea Nyumba ya Mtemi wa kabila la wasukuma kwenye kituo
cha Bujora Mkoani Mwanza.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal
akiwapungia Mkono wananchi wa Kijiji Cha Kasesa wilaya ya Magu wakati
alipowasili Uwanjani hapo kuzindua Tamasha la Kimila la wasukuma Mkoa wa
Mwanza .
Makamu
wa Raiswa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal
akipiga Ngoma ishara ya Kuzindua Sherehe za kimila za kabila la
wasukuma zilizofanyika kwenye kijiji cha kisesaWilayani Magu Mkoa wa
Mwanza jana.