TOP 3 YA TUZO ZA WATU 2015 KUFANYIKA IJUMAA TAREHE 22/HYATT KEMPISK HOTEL SOMA HABARI KAMILI HAPA LIVE!!

May 12, 2015
Tuzo za Watu 2015 zinatarajiwa kufanyika Ijumaa ya May 22 kwenye hoteli ya Hyatt Regency (The Kilimanjaro) jijini Dar es Salaam.  Tuzo za mwaka huu zinahusisha vipengele 13 vilivyopo kwenye muziki, filamu, redio, televisheni na blogs.

Washindi watapatikana kwa asilimia 100 ya kura za wananchi zinazoendelea katika hatua hii ambapo wamebaki washiriki watatu katika kila kipengele.

Kila mshindi atapokea tuzo na zawadi ya fedha taslimu shilingi milioni moja.

Pamoja na utoaji wa tuzo hizo, hafla hiyo itasindikizwa na burudani moto moto kutoka kwa wasanii watakaotangazwa hapo baadaye. Hakuna kiingilio kwenye tuzo hizo bali itatolewa mialiko kwa baadhi ya watu kwenye tasnia ya burudani na zingine nchini. Pia mialiko 100 itatolewa  kwa wananchi waliopiga kura zaidi.

Haya ndio majina yaliyoingia kwenye fainali ya tuzo za watu:

Mtangazaji wa redio anayependwa 

D’Jaro Arungu - TBC FM - TZW1C
Maryam Kitosi – Times FM - TZW1D
Millard Ayo – Clouds FM - TZW1E


Kipindi cha redio kinachopendwa 

Amplifaya – Clouds FM - TZW2B
Hatua Tatu – Times FM - TZW2C 
Papaso – TBC FM - TZW2D

Mtangazaji wa runinga anayependwa

Abdallah ‘Dullah’ Ambua – EATV - TZW3A
Salama Jabir – EATV/Maisha Magic - TZW3B
Salim Kikeke - BBC Swahili - TZW3C

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »