NHIF WASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA KIBIASHARA YA TATU YANAYOENDELEA VIWANJA VYA MWAHAKO JIJINI TANGA

May 30, 2015

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa
Tanga(NHIF) Ally Mwakababu akipima presha katika banda la mfuko huo leo lililopo kwenye viwanja vya Mwahako jijini Tanga ambapo kunafanyika maonyesho ya tatu ya kimataifa ya Biashara,Picha na Mpiga Picha wetu,Tanga.

Afisa Matekelezo Mfuko wa Taifa wa Bima
ya Afya Mkoa wa Tanga(NHIF) Miraji Kisile akipima afya leo kwenye banda ya Mfuko huo ambapo kunafanyika Maonyesho ya tatu ya Kimataifaya Biashara,Picha na Mpiga Picha wetu,Tanga.


 Afisa Matekelezo Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga(NHIF) Miraji Kisile akipima afya leo kwenye banda ya Mfuko huo ambapo kunafanyika Maonyesho ya tatu ya Kimataifaya Biashara,Picha na Mpiga Picha wetu,Tanga.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »