MATUKIO YA PICHA KATIKA MICHUANO YA LIGI YA WILAYA YA TANGA.

May 13, 2015
Mchezaji wa timu ya Majengo FC,Rashid Hamadi akiwania mpira na beki wa timu ya Boraska FC Amani Ally aliyekuwepo chini juzi ikiwa ni muendelezo wa michuano ya Ligi ya wilaya ya Tanga ambapo
Majengo FC ilishinda mabao 3-1, mchezo uliochezwa uwanja wa soka Lamore

Mshambuliaji wa timu ya Majengo FC,Rashid Shabani akipatiwa huduma ya kwanza mara baada ya kuumia katika mechi ya Ligi ya wilaya ya Tanga dhidi yao na Boraska FC ambapo majengo waliibuka na ushindi wa mabao 3-1,mchezo uliochezwa uwanja wa Lamore

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »