SHAMRA SHAMRA ZA SOKO LA SONI JANA.

April 12, 2015


 Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga mji mdogo wa Soni Wilayani Lushoto Mkoani Tanga wakisubiri wateja. Wafanyabiashara hao kwa muda mrefu wamekuwa wakiiomba halmashauri ya Wilaya kuwajengea vizimba kuepukana na kero nyakati za  mvua na jua,Picha zote na Salum Mohamed.




Share this

Related Posts

Previous
Next Post »