Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga mji mdogo wa Soni
Wilayani Lushoto Mkoani Tanga wakisubiri wateja. Wafanyabiashara hao kwa muda
mrefu wamekuwa wakiiomba halmashauri ya Wilaya kuwajengea vizimba kuepukana na kero nyakati za mvua na jua,Picha zote na Salum Mohamed.
EmoticonEmoticon