Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu
Pinda (kushoto) akizungumza ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la
kiserikali la Women’s Federation for World Peace la Umoja wa Mataifa
(WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako
amefuatana Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye
mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika
Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Chieko Sasamoto na Yoko Shima
Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu
Pinda (kushoto) akizungumza ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la
kiserikali la Women’s Federation for WOrld Peace la Umoja wa Mataifa
(WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako
amefuatana Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete kwenye
mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa kufanyika
Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Chieko Sasamoto, Yoko Shima na
Mutsako Setomoto.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akisalimiana na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. mashiro
Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako
Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika
Mkutano Kuhusu namna ya kukabiana na maafa utakaofanyika Sendai.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akizungumza na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. Masahiro
Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13, 2015 ambako
Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika
Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa utakaofanyika Sendai.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu
Pinda akiwa katika picha ya pamoja ujumbe kutoka Shirika lisilokuwa la
kiserikali la Women’s Federation for World Peace la Umoja wa Mataifa
(WFWP) kwenye hoteli ya New Otani jijini Tokyo Mchi 13, 2015 ambako
amefuatana na Mheshimiwa Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Jakaya Kiwete
kwenye mkutano kuhusu namna ya kushughulikia maafa unaotarajiwa
kufanyika Sendai Machi 14, 2015. Kutoka kushoto ni Mutsako Setomoto,
Chieko Sasamoto, Yoko Shima na Kazunori Arase.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akizungumza na na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. Masahiro
Yoshida (kushoto) kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo Machi 13,
2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete
katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa utakaofanyika
Sendai. Watatu kushoto ni mkewe Tunu , Wanne kushoto ni Waziri wa Nchi
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Zanzibar, Mohamed Abood Mohamed na Kulia ni
Naibu Waziri wa mambo ya Nje, Dr. Mahadh Maalim.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)