Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la
Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa wakati alipowasili
katika eneo la mapokezi Makuyuni Monduli mkoani Arusha akianza rasmi
ziara ya mkoa huo baada ya kumaliza ziara kama hiyo mkoani Dodoma.
Mh. Edward Lowassa
amewashukuru na kuwapongeza Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye kwa
kazi ambayo wanakifanyia chama cha Mapinduzi CCM “Hongereni Sana Hata
hivyo jimbo la Monduli liko salama mikononi mwa CCM”. Amesema Lowassa.
Katika
ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na
Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MONDULI- ARUSHA)
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa viti
maalum kupitia CCM Ndugu Namelok Sokoine wakati alipowasili katika mji
wa Makuyuni wilayani Monduli.
Waziri Mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa
akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Manyara Ndugu Joel Bendera wakati wa
mapokeizi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kutoka kushoto
ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstaafu Chiku Galawa, Mbunge wa jimbo
la Babati vijijini Mh. Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal
JituSon na Mkuu wa wilaya ya Babati Ndugu Chrispin Meela.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa
skafu na vijana wa Greenguard mara baada ya kuwasili wilayani Monduli,
kulia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika mji wa mji wa Makuyuni wilayani Monduli.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia jambo na Mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Lowassa, Kulia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi mbalimbali waliofika kumpokea katika mji wa makuyuni wilayani Monduli.
Nape
Nnauye akizungumza na wafanyakazi wa Tanesco mkoani katika kijiji cha
Lolkisale wilayani Monduli mkoani Arusha wakati msafara wa Katibu Mkuu
wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ulipowasili kijijini Hapo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasha umeme katika kijiji cha Lolkisale ambao umesambazwa na REA Mamlaka ya Umeme Vijijini. B
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na waganga na wauguzi wa hospitali ya wilaya ya Monduli.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Loawassa wakisikiliza taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Loawassa na waziri Mkuu wa zamani wakishiriki kazi ya kupaka rangi katika jengo la hospitali ya wilaya ya Monduli.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Loawassa na waziri Mkuu wa zamani wakishiriki kazi ya kutengeneza sakafu katika maeneo muhimu ya njia za kupita wagongwa hospitalini hapo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi huku mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Loawassa
na waziri Mkuu wa zamani, akisikiliza wakati Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwasalimia waganga na waugunzi wa
hospitali ya Wilaya ya Monduli
Mbunge wa viti maalum kupitia CCM mkoani Arusha Namelok Sokoine akisalimiana na wananchi waliofika kumpokea Ndugu Kinana.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika kazi ya kupalilia mpunga wakati alipotembelea na kukagua mashamba ya Mpunga Mahande.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika kazi ya kupalilia mpunga wakati alipotembelea na kukagua mashamba ya Mpunga Mahande.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwashuri
katika jambo wakulima wa mpunga mara baada ya kushiriki kazi ya
kupalilia mpunga wakati alipotembelea na kukagua mashamba ya Mpunga
Mahande.
Mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Loawassa na waziri Mkuu wa zamani akisalimiana na wananchi katika mkutano huo.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Mh. Nape Nnauye akiwahutubia wananchi katika mkutano huo uliofanyika Mtowambu wilayani Monduli.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika
mkutano huo uliofanyika kwenye viwanja vya Sabasaba Mtowambu
Mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Loawassa akizungumza jambo na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye.
Mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Loawassa akijadili jambo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.