Miss CBE 2015 amepatikana Dar es salaam jana, picha ndio hizi!

March 01, 2015
.
.
Chuo cha CBE usiku wa Feb 28, 2015 walikua wakimtafuta Miss CBE ambaye kwao ni kama kumtafuta mwakilishi atakwenda kuwawakilisha kwenye ngazi zinazofuata za mashindani haya ya urembo ambapo Neema Sissamo alitajwa kama mshindi wa Miss CBE 2015.
Nafasi ya pili ikachukuliwa na Namie Haule nafasi ya tatu ikachukuliwa na Mariam Omary ambapo ukitazama hapa chini ndio nimekuwekea pichaz mbalimbali kutoka kwenye tukio hili ambalo Young D na Jux walikua mabalozi wa bongofleva.


.
.
.
.
.
.
.
Jux akitoa burudani jukwaani.
.
.
.
.
.
Young Dee.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
DSC_0645
.

.
Dj Vasley.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
DSC_0486
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »