Matatizo ya Maji kwenye maeneo ya Ziwa Victoria kuwa historia

March 05, 2015

MA1 
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Jumanne Maghembe akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ujenzi wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria kwenda wilaya za Igunga,Nzega Uyui mpaka Tabora.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Jumanne Maghembe akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.Kulia kwake ni Mbunge wa Tabora Mjini Alhaji Ismail Aden Rage na kushoto ni Mbunge wa Igalula Mhandisi Athumani Mfutakamba. MA3 
Mbunge wa Tabora Mjini Alhaji Ismail Aden Rage, akizungumzia mradi huo unaotarajia kunufaisha vijiji 68 na watu karibu watu 385,280 katika maeneo yanayozunguka mradi huo. MA4 
Mbunge wa Igalula Mhandisi Athumani Mfutakamba, akieleza kufurahishwa kwake na ujenzi wa mradi huo unaotarajiwa kutekelezwa katika kipindi cha miezi 30.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri Maji na Umwagiliaji Profesa Jumanne Maghembe (hayupo pichani). MA6 
Baadhi ya waandishi wa habari na watendaji wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji wakimsikiliza Waziri Prof. Maghembe.
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »