Waziri
wa Maji na Umwagiliaji Profesa Jumanne Maghembe akizungumza na
waandishi wa habari kuhusu ujenzi wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria
kwenda wilaya za Igunga,Nzega Uyui mpaka Tabora.
Waziri
wa Maji na Umwagiliaji Profesa Jumanne Maghembe akifafanua jambo kwa
waandishi wa habari.Kulia kwake ni Mbunge wa Tabora Mjini Alhaji Ismail
Aden Rage na kushoto ni Mbunge wa Igalula Mhandisi Athumani Mfutakamba.
Mbunge
wa Tabora Mjini Alhaji Ismail Aden Rage, akizungumzia mradi huo
unaotarajia kunufaisha vijiji 68 na watu karibu watu 385,280 katika
maeneo yanayozunguka mradi huo.
Mbunge
wa Igalula Mhandisi Athumani Mfutakamba, akieleza kufurahishwa kwake na
ujenzi wa mradi huo unaotarajiwa kutekelezwa katika kipindi cha miezi
30.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri Maji na Umwagiliaji Profesa Jumanne Maghembe (hayupo pichani).
Baadhi ya waandishi wa habari na watendaji wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji wakimsikiliza Waziri Prof. Maghembe.
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO.
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO.