Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika kazi ya
kutandaza nyaya za umeme vijijini pamoja na wafanyakazi wa TANESCO
wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro katika kijiji cha Kirongo Samanga
wakati akiwa katika ziara yake katika jimbo la Rombo akikagua na
kuhimiza ilani ya Uchaguzi ya CCM mwaka 2010 ya inayotekelezwa na
serikali huku akihimiza uhai wa chama cha mapinduzi. Katika ziara hiyo
Kinana anaongozana na katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa CCM Ndugu
Nape Nnauye.(PICHA NA KIKOZIKAZI CHA FULLSHANGWE-ROMBO-KILIMANJARO)
Mafundi wa TANESCO wakiendelea na kazi ya kusa baza umeme katika kijiji cha Kirongo Samanga wilayani Rombo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Bw. Shanel Ngowi Mkurugenzi wa kiwanda cha kutengeneza Juisi na Maji cha Bella View kilichopo katika Bella.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa
heshima zake katika kaburi la pamoja la wanafunzi wa shule ya sekondari
ya Shauritanga waliofariki katika ajali ya moto miaka kadhaa iliyopita
mkoani Kilimanjaro.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo ya mradi wa maji wa Kahe kutoka kwa Mhandisi wa maji wilaya ya Rombo Bw.Tesha Andrew wakati alikagua mradi huo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na baadhi ya wananchi wakati alipokagua mradi wa maji wa Kahe wilayani Rombo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiunganisha maji wakati alipokagua ujenzi wa mradi wa maji wa Kahe wilaya ya Rombo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifungua maji ya bomba wakati alipokagua ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Kahe wilayani Rombo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na injinia wa maji wilaya ya Rombo Bw. Tesha Andrew.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana
na wananchi mbalimbali wakati alipowasili katika uwanja wa Polisi
Tarakea wilayani Rombo ambapo mkutano wa hadhara umefanyika.
Wananchi wa Tarakea wakinyanyua mikono yao juu wakati mkutano huo ukiendelea.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa polisi mjini Tarakea.
Mmoja wa akina mama wa CCM akiwasili kwa pikipiki katika eneo la mkutano mjini Tarakea wilayani Rombo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza
Bw. John Saimon aliyekuwa Katibu wa CHADEMA wilaya ya Rombo na Katibu
wa Mbunge wa jimbo hilo Mh. Joseph Selasini akitangaza rasmi kujiunga na
CCM katika mkutano wa hadhara mjini Tarakea.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikusanya kadi za vijana wa CHADEMA waliojiunga na CCM katika mkutano huo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimvisha kofia Bw. John Saimon mara baada ya kujiunga na CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aki na Kijana John Saimon wakipigiana saluti mara baada ya kumalizika kwa mkuta no wa hadhara katikati anayeshuhudia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa.
EmoticonEmoticon