Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo yatoa zawadi kwa wateja bora wa Tigo wa mwaka 2014

March 05, 2015

Tigo Mteja bora 2014, Anta Ramadhani (kulia) akipokea zawadi ya simu kutoka kwa Mtaalamu wa Habari katika Mitandao ya Kijamii ya Tigo Samira Baamar, katikati ni Meneja Uendeshaji na Msaidizi wa Mifumo ya Mawasiliano wa Tigo Halima Kasoro
TI2 
Tigo Mteja bora 2014, Hamin Halfani (kulia) akipokea zawadi ya simu kutoka kwa Meneja Ubora Mwangaza Matotora TI3 
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo wakiwa katika picha ya pamoja na Tigo Wateja bora 2014, katika hafla fupi ya kuwakabidhi zawadi wateja hao iliyofanyika leo katika Makao Makuu ya Tigo Tanzania, Makumbusho Dar es Salaam.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »