Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wengine meza
kuu wakati wa sala ya Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania
(KKKT) ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani la Kanisa
hilo, Askofu Alex Malasusa pamoja na wachungaji wengine wa KKKT wakati
wa chakula cha usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha
Tumaini, tawi la Dar Es Salaam, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee usiku
wa Ijumaa, Machi 12, 2015. Katika uchangiaji huo, Rais Kikwete
aliwezesha kupatikana kwa sh. bilioni 1.6 mbali na ahadi na fedha
zitakazopatikana kutokana na bidhaa zilizouzwa kwa njia ya mnada.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja
na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ambaye pia ni
Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani la Kanisa hilo, Askofu Alex
Malasusa pamoja na wachungaji wengine wa KKKT wakati wa chakula cha
usiku kuchangia fedha za ujenzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, tawi la Dar
Es Salaam, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee usiku wa Ijumaa, Machi 12,
2015. Katika uchangiaji huo, Rais Kikwete aliwezesha kupatikana kwa sh.
bilioni 1.6 mbali na ahadi na fedha zitakazopatikana kutokana na bidhaa
zilizouzwa kwa njia ya mnada.
PICHA NA IKULU