BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA LASAINI WARAKA WA BRIGHTON DECLARATION KUHUSIANA NA USAWA WA KIJINSIA KATIKA MICHEZO

February 12, 2015

H1 
Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa Bw. Henry Riaya (kulia) akisaini Waraka wa Brighton Declaration kuhusiana na usawa wa kijinsia katika michezo, hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo (jana) kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bi. Juliana Yassoda.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa Bw. Henry Riaya (kulia) akisisitiza jambo mbele ya wanahabari hawapo pichani kuhusiana na Waraka wa Brighton Declaration kuhusiana na usawa wa kijinsia katika michezo
H4 
Baadhi ya wanahabari wakimsikiliza Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa Bw. Henry Riaya hayupo pichani akizungumza na wanahabari hawapo pichani katika hafla ya kusaini Waraka wa Brighton Declaration kuhusiana na usawa wa kijinsia katika michezo.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. (jana.)
Picha zote na Benjamin Sawe -WHVUM

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »