Baadhi
ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza walioshriki katika
mazungumzo rasmi kuhusu Mradi wa “AIDS – free” unaotarajiwa kutekelezwa
ndani ya Jeshi la Magereza(wa kwanza kulia) ni Kamishna Huduma za
Urekebishaji, Deonice Chamulesile(wa pili kulia) ni Kamishna wa Sheria
na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(wa pili kushoto) ni Kamishna
Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Gedion Nkana(wa kwanza kushoto) ni
Mrakibu Mwandamizi wa Magereza, Nsajigwa Mwakenja.
Maofisa
Wasimamizi wa Sekta ya Afya kutoka Jeshi la Polisi wakifuatilia
mazungumzo rasmi kuhusu Mradi wa “AIDS – free”(wa kwanza kushoto) ni
Dkt. Nyanda Lushina(katikati) ni Mrakibu wa Polisi, Husein Yahya.
Kamishna
Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja(meza kuu) akiongoza
mazungumzo rasmi yaliyofanyika Ofsini kwake leo februari 20, 2015 kati
ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza na Wasimamizi Wakuu wa Mradi
wa “AIDS – free” utakaotekelezwa ndani ya Jeshi la Magereza(Picha zote
na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
EmoticonEmoticon