BUNGE LA VIJANA LAANZA VIKAO VYAKE KATIKA UKUMBI WA MSEKWA BUNGENI DODOMA

December 01, 2014

 Washiriki wa Bunge la Vijana wakifuatilia Mijadala ya Bunge hilo kwa Makini.
 Washiriki wa Bunge la Vijana wakifuatilia Mijadala ya Bunge hilo kwa Makini.
 Washiriki wa Bunge la Vijana wakifuatilia Mijadala ya Bunge hilo kwa Makini.
 Kiongozi wa Shughuli za Serikali katika Bunge la Vijana ndg. Zacharia Magige  kutoka chuo kikuu cha Mzumbe akiwashukuru wabunge wenzie baada ya jina lake kuthibitishwa rasmi na Bunge hilo kuwa Waziri Mkuu katika Bunge la Vijana jana.
 Spika wa Bunge la Vijana Ndg. Edgar Israel akimuapisha aliyechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge hilo Ndg. Mussa Yusufu kutoka chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kushika nyadhifa hiyo Bungeni jana.
  kiongozi wa kambi ya Upinzani katika Bunge la Vijana Ndg. Alpha Mazengo akiuliza swali kwa Spika wa Bunge hilo wakati Bunge hilo lilipoketi katika vikao vyake jana
 Spika wa Bunge la Vijana Ndg. Edgar Israel kutoka chuo cha St. John cha Dodoma akiingia Bungeni tayari kwa kuanza kwa Bunge hilo
 Mpambe wa Bunge akiweka siwa mezani tayari kwa kuanza vikao vya Bunge la Vijana
 Spika wa Bunge la Vijana Ndg. Edgar Israel kutoka chuo cha St. John cha Dodoma akisoma dua kabla ya kuanza kwa Bunge hilo mjini Dodoma. Waliosimama mbele yake ni Makatibu Mezani
 Washiriki wa Bunge la Vijana wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa maafisa wa Bunge kabla ya kuanza vikao vya Bunge hilo
 Washiriki wa Bunge la Vijana wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa maafisa wa Bunge kabla ya kuanza vikao vya Bunge hilo
 Mshauri Msaidizi wa Maswala ya Sheria wa Bunge Ndg. Matamus Fungo akifafanua namna Muswada wa Sheria unavyopitia katika hatua mbalimbali Bungeni.
 Mkurugenzi msaidizi kutoka Kamati za Bunge Ndg. Athuman Hussein akifafanua jambo wakati wa semina ya Maalum kwa Wabunge wa Bunge la Vijana kabla ya kuanza kwa Bunge hilo Jana
 Afisa wa Bunge Ndg. Patson Sobha akielezea baadhi ya taratibu za kibunge wakati wa semina kwa Wabunge wa Bunge la Vijana kabla ya kuanza kwa Bunge hilo jana

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »