KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI MKOA WA MANYARA CHAFANYIKA MJINI BABATI

November 18, 2014

 Baadhi ya wajumbe wa kikao cha ushauri cha Mkoa wa Manyara, (RCC) wakifuatilia kikao hicho kilichofanyika jana mjini Babati na kuongozwa na Mkuu wa mkoa huo Elaston Mbwilo.
 Ofisa elimu wa Mkoa wa Manyara, Ibrahim Mbang'o na baadhi ya wajumbe wakifuatilia jambo kwenye kikao cha ushauri cha mkoa huo (RCC) kilichofanyika jana mjini Babati.
Mkuu wa Wilaya ya Hanang' Mkoani Manyara, Christina Mndeme (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Anatory Choya, wakiwa kwenye kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa huo (RCC) kilichofanyika jana mjini Babati

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »