Mbunge wa jimbo la kalenga
Godfrey Mgimwa kushoto akicheza bao na mpiga kura wake Yohanes
Chotelo wa kijiji cha Kiponzero baada ya mbunge huyo kumaliza ziara
yake katika kijiji cha Kiponzeri hivi karibuni (picha na matukiodaima.co.tz) |
Mdogo mdogo mchezo ukianza |
Mkazi wa Kiponzero Yohanes Chotelo akicheza bao na mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa aliyefika kijijini hapo kuchangia maendeleo ya shule ya Msingi Kiponzero |