MBUNGE MGIMWA AKIJUMUIKA NA WAPIGA KURA WAKE KWA KUCHEZA BAO

October 01, 2014

Mbunge  wa  jimbo la kalenga Godfrey Mgimwa  kushoto akicheza  bao na mpiga  kura wake Yohanes Chotelo wa kijiji cha Kiponzero baada ya  mbunge  huyo kumaliza  ziara  yake  katika  kijiji  cha Kiponzeri hivi karibuni (picha na matukiodaima.co.tz)
Mdogo mdogo mchezo ukianza 
Mkazi  wa Kiponzero Yohanes Chotelo akicheza bao na mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa aliyefika kijijini hapo kuchangia maendeleo ya shule ya Msingi Kiponzero 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »