| Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa akiwaeleza jambo
wajumbe wa kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) jana wakati wa
kikao hicho ambacho kilifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya
Mkuu wa Mkoa kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Salum Chima na
kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga(CCM)na Mbunge
wa Jimbo la Lushoto Henry Shekifu |
EmoticonEmoticon