RAIS KIKWETE AWASILI WASHINGTON DC KWA MIKUTANO MBALIMBALI PAMOJA NA HAFLA YA USIKU WA JAKAYA

September 19, 2014


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa La Guardia jijini Washington DC tayari kwa kushiriki katika mikutano mbalimbali na pia katika hafla ya “USIKU WA JAKAYA”  leo jioni

 Rais Kikwete akilakiwa na maafisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani baada ya kuwasili hoteli aliyofikia

 Karibu Washington DC Mheshimiwa

 Rais akiendelea kusalimia na na wafanyakazi wa ubalozini

 Mapokezi yakiendelea

 Rais Kikwete akisalimiana na Bw. Lucas Mkama wa Vijimambo Blog

Karibu sana Mzee…

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »