WAZIRI WA HABARI NA VIONGOZI WA WIZARA NA TAASISI ZIARANI NCHINI CHINA

August 10, 2014
Waziri wa Habari,  Vijana,  Utamaduni na Michezo Dkt.  Fenela Mukangala yuko nchini China katika ziara ya kuangalia maendeleo ya Sekta ya Utangazaji na kuimarisha ushirikiano katika sekta ya Utangazaji kati ya Tanzania na China.

Katika ziara hiyo ameongozana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga,  Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw. Clement Mshana na Mkurugenzi wa Utangazaji TCRA Bwana Habbi Gunze. 

ujumbe wa Waziri ukitembelea sehemu mbalimbali zikiwemo studio na vivutio mbalimbali vya Utangazaji katika kituo cha Tv cha Jimbo la Sichuan nchini China.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »