Afisa
Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni
akimuhudumia mmiliki wa Mtandao wa Michuzi Blog, Ndg Muhidin Issa
Michuzi wakati alipotembelea banda la PPF katika maonyesho ya Sabasaba.
Afisa
Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni
akimuhudumia mmiliki wa Mtandao wa Michuzi Blog, Ndg Muhidin Issa
Michuzi wakati alipotembelea banda la PPF katika maonyesho ya Sabasaba.
Afisa
Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni
akimkabidhi taarifa ya michango mmiliki wa Mtandao wa Michuzi Blog,
Muhidin Issa Michuzi wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho
ya 38 ya Sabasaba. Pembeni wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa mfuko wa
Pensheni wa PPF.
Meneja
Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Lulu Mengele (Kulia)
akimkabidhi zawadi Mmiliki wa Mtandao wa Michuzi, Ndg Muhidin Issa
Michuzi wakati alipotembelea banda la PPF katika Viwanja vya maonyesho
ya 38 ya biashara yanayoendelea kufanyika Jijini Dar Es Salaam.Picha
Zote na Josephat Lukaza- Lukaza Blog