RIDHIWANI, MGIMWA SASA WABUNGE RASMI, WAAPISHWA BUNGENI LEO

May 06, 2014

PG4A8123   
Mke  wa Rais,Mama Salma Kikwete  na familia wakiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete alipoapishwa . Kuhoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma , Dr. Rehema Nchimbi.  Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema nchimbi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)PG4A8129  
Mke  wa Rais,Mama Salma Kikwete akiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete alipoapishwa .   Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema nchimbi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)PG4A8131  
Spika wa Bunge,Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo waTaifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza mai 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A8145 (1) 
Mbunge wa Kalenga, Godfrey mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma Mei 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A8163Mbunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa akiapa Buneni mjini Dodoma Mai 6, 2014. (Picha na  Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A8195  
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni Mjini Dodoma, Mei 6, 2014 (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)PG4A8214 Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiapa, Bungeni Mjini Dodoma, Mai 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)PG4A8228  
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete baada ya kuapishwa, Bungeni Mjini Dodoma  Mai 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »