BASI LA HOOD LATEKETEA KWA MOTO ,ABIRIA WANUSURIKA OSCAR ASSENGA April 29, 2014 OSCAR ASSENGA Zaidi ya Abiria 55 waliokuwa ndani ya Basi la kampuni ya Hood, wakisafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha walinusurika kufa baada ya Basi hilo kushika moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele-Chalinze Mkoani Pwani. Share this Author : OSCAR ASSENGA Related Posts
EmoticonEmoticon