BASI LA HOOD LATEKETEA KWA MOTO ,ABIRIA WANUSURIKA

April 29, 2014


Zaidi ya Abiria 55 waliokuwa ndani ya Basi la kampuni ya Hood, wakisafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha walinusurika kufa baada ya Basi hilo kushika moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele-Chalinze Mkoani Pwani.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »