KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHMAN KINANA AKUTANA NA WAENDESHA BODABODA JIJINI MBEYA JANA
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana
na Inspekta Isack Lema Mlezi wa Bodaboda Mkoa wa Mbeya kwa upande wa
jeshi la Polisi wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Mtenda uliopo Soweto
mjini Mbeya kwa ajili ya kuzungumza na waendesha Bodaboda wa mjini
Mbeya, ambapo wamemweleza matatizo mbalimbali wanayokumbana nayo na
jinsi wanavyoshirikiana na jeshi la polisi na polisi jamii katika
kulinda usalama wa wananchi, wao wenyewe na mali kwa ujumla, Chanagamoto
mbalimbali za kimaendeleo zimetatuliwa na zitaendelea kutatuliwa ili
waendesha bodaboda wafanye kazi zao kwa ufanisi na utulivu.Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia
waendesha Bodaboda ambao wameonekana kufurahia sana mkutano huo
uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mtenda Soweto jijini Mbeya. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Blogger wa Mbeya yetu Blog Bwana
Joseph Mwaisango.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa katika
meza kuu kulia ni Nape Nnauye Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi wakati
wa mkutano huo. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE
Waendesha
Bodabona wakimshagilia Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana wakati alipokuwa akiongea nao leo. Msafara
wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
ukitoka uwanja wa ndege wa Songwe kuelekea mjini Mbeya leo mara baada ya
kuwasili mkoani humo. Shangwe za waendesha bodaboda zikiendelea. Pikipiki zao zikiwa zimeegeshwa nje ya ukumbi. Pikipiki zao zikiwa zimeegeshwa nje ya ukumbi. Waendesha Bodaboda wakifuatilia hotuba za Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi wakati wa mkutano huo. Nape Nnauye Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi akizungumza wakati wa mkutano huo leo. Hapa ni Shangwe tu Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea
risala ya waendesha Bodaboda kutoka kwa Msumba Makya Katibu wa Waendesha
Bodaboda. Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akibebwa
juujuu na waendesha bodaboda mara baada ya kuwahutubia kwenye ukumbi wa
Mkenda leo.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana
akipiga picha ya pamoja na uongozi wa waendesha Bodaboda kushoto ni
mwenyekiti Vicent Mwashoma na kulia ni Msumba Makya Katibu wa Waendesha Bodaboda