Mwili wa Dkt. William Mgimwa Wawasili Kutoka Nchini Afrika Kusini.
January 4, 2014
Mjane Mama Jane Mgimwa(katikati) akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Afrika kusini Radhia Msuya(kulia) mara baada ya kuwasili kutoka nchini Afrika kusini |
Baadhi ya Viongozi wa Serikali na Wabunge waliojitokeza kuupokea mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Dkt. Willium Mgimwa. |
Mwili
wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Marehemu Dkt. Willium Mgimwa Ukiingizwa
kwenye gari Maalum Tayari kwa ajili ya kuelekea nyumbani kwa marehemu
kwa taratibu nyingine za mazishi.
|