Viongozi wa Coastal Union wakifuatilia mechi ya leo uwanja wa Mkwakwani.
Meneja wa Coastal Union akitaniana na Kocha wa JKT Oljoro Hemed Morocco kabla ya mchezo leo.
Atupele Green akimtoka mchezaji wa JKT Oljoro uwanja wa Mkwakwani leo.
Kenneth Masumbuko, akitafuta mbinu za kumtoka Nurdin Mohammed wa JKT Oljoro katika uwanja wa Mkwakwani leo.
Yayo Kato Lutimba
Yusuf Chipo, Kocha wa Coastal Union akiangalia mchezaji wake Danny Lyanga akifanya vitu vyake katika mechi ya leo uwanja wa Mkwakwani.
Yayo Kato akijishauri cha kufanya kabla ya kuanza kukimbizana na Ally Hamza wa JKT Oljoro.
Mfungaji wa bao la Coastal Union Yayo Kato, akigombania mpira na mchezaji wa JKT Oljoro Ally Hamza.
Kocha Mkuu wa Coastal union, Yusuf Chipo akiwatuliza wachezaji wake baada ya kufungwa bao la kusawazisha leo.
Coastal Union ina mashabiki wa mataifa mengi.
Danny Lyanga akituliza mpira kwenye gamba katika mechi ya leo alicheza vizuri ingawa kuanguka anguka kulikuwa kwingi.
Danny Lyanga.
EmoticonEmoticon