KUFUATIA
kufunguliwa kwa Gazeti Bingwa la Habari Tanzania, MTANZANIA,
linalochapishwa na Kampuni ya NewHabari (2006) LTD, Waandishi, Wahariri
pamoja na Wafanyakazi wa Kampuni hiyo leo walinaswa na Kamera yetu
wakisambazas gazeti hilo katika Mitaa ya Dar es salaam.
Mpiga
picha katika pita pita zake alikutana na Mhariri wa Michezo wa Gazeti
hilo, lililotoka kifungoni leo, Mwani Nyangassa akiwa na nakala zake
mkononi, katika juhudi za kulitangazia umma ujio mpya wa gazeti hilo.
Tizama
katika picha matukio katika kilichojiri leo katika mitaa ya Sinza,
Morroco, Kariakoo, Ubungo na maeneo mengine ya Jiji la Dar es salaam.
 |
| Mwani Nyangassa akifanya mauzo katika mitaa ya Jiji la Dar es salaam |
 |
| Mhariri
wa Michezo wa gazeti la Mtanzania, lililotoka kifungoni leo, Desemba
27, akionesha nakala la gazeti hilo, alivyokutwa na mpiga picha wetu. |
 |
Limerudi tena!!!!
|
 |
| Mwani
Nyangassa na Esther Bhoke akiwa wamepozi katika picha, baada ya uchovu
wa mizunguko ya leo, makamanda hao wako katika harakati ya kuliuza
gazeti hilo ambalo limefunguliwa leo kutoka kifungoni. |
 |
| Poz
kwa Poz, Wafanyakazi wa Newhabari (2006) Ltd, "#TEAM Mauzo"wakiwa
wamepozi katika picha ya pamoaja baada ya kuzunguka jiji la Dar es
salaam kufanay mauzo ya copy ya gazeti la MTANZANIA. |
Share this
EmoticonEmoticon