Karibu Sana Korogwe.

July 30, 2013
MKUU wa wilaya ya Korogwe,Mrisho Gambo kulia akisalimiana na Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini,Vick Bushibo baada ya kumtembelea ofisini kwake mwishoni mwa wiki ambapo Benki hiyo ilitoa msaada vitanda 10 kwa zahanati za korogwe mji ambavyo viliombwa na Mbunge wa Mkoa wa Tanga,Marry Chatanda.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »