MKUU wa wilaya ya Korogwe,Mrisho Gambo kulia akisalimiana na Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini,Vick Bushibo baada ya kumtembelea ofisini kwake mwishoni mwa wiki ambapo Benki hiyo ilitoa msaada vitanda 10 kwa zahanati za korogwe mji ambavyo viliombwa na Mbunge wa Mkoa wa Tanga,Marry Chatanda.
EmoticonEmoticon