Kamanda umpumzike kwa amani

July 23, 2013
ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanga JWTZ wakiwa wameubeba mwili wa askariwa Jeshi hilo, ambaye ni miongoni mwa askari waliofariki katika Darfur Sudani,Photonatus Msofe leo wakati wa maziko yake yaliyofanyika Kange Kasera nje kidogo ya Jiji la Tanga.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »