Mkuu wa wilaya ya Tanga,Halima Dendego akishiriki zoezi la
usafi na warembo wanaowania shindano la kumtafuta mlimbwende wa mkoa wa
Tanga,Redd”Miss Tanga 2013,shindano hilo litafanyika June 22 mwaka huu kwenye
uwanja wa Mkwakwani mjini hapa.
HABARI NA MATUKIO MBALIMBALI
EmoticonEmoticon