RC Gallawa.

June 13, 2013
MKUU wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya kamati za mikoa za baraza la watumiaji wa huduma za usafiri wa nchi kavu  na majini Sumatra kilichofanyika leo katika hotel ya Tanga Beach Resort.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »